Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 116:8-9

Zaburi 116:8-9 NEN

Kwa kuwa wewe, Ee BWANA, umeniokoa nafsi yangu na mauti, macho yangu kutokana na machozi, miguu yangu kutokana na kujikwaa, ili niweze kutembea mbele za BWANA, katika nchi ya walio hai.