Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 24:13-14

Mithali 24:13-14 SRUV

Mwanangu, ule asali, kwa maana ni njema, Na sega la asali lililo tamu ulionjapo. Basi utaijua hekima kuwa tamu kwa nafsi yako; Ikiwa umekwisha kuiona; Ndipo itakapofuata thawabu; Wala tumaini lako halitabatilika.

Soma Mithali 24

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mithali 24:13-14