Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Wafilipi 4:4-6

Wafilipi 4:4-6 SRUV

Furahini katika Bwana sikuzote; tena nasema, Furahini. Upole wenu na ujulikane na watu wote. Bwana yuko karibu. Msijisumbue kwa neno lolote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.

Soma Wafilipi 4