Wafilipi 4:4-6
Wafilipi 4:4-6 NENO
Furahini katika Bwana Isa siku zote, tena nasema furahini! Upole wenu na ujulikane na watu wote. Bwana Isa yu karibu. Msijisumbue kwa jambo lolote, bali katika kila jambo kwa kuomba na kusihi pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.