Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 5:1-4

Mathayo 5:1-4 SRUV

Naye alipowaona makundi ya watu, alipanda mlimani; na alipokwisha kuketi, wanafunzi wake walimjia; akafumbua kinywa chake, akawafundisha, akisema, Heri walio maskini wa roho; Maana ufalme wa mbinguni ni wao. Heri wenye huzuni; Maana hao watafarijika.

Soma Mathayo 5

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 5:1-4

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha