Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 13:18-21

Luka 13:18-21 SRUV

Kisha alisema, Ufalme wa Mungu umefanana na nini? Nami niufananishe na nini? Umefanana na punje ya haradali aliyotwaa mtu akaitupa katika shamba lake; ikamea, ikawa mti; ndege wa angani wakakaa katika matawi yake. Akasema mara ya pili, Niufananishe na nini ufalme wa Mungu? Umefanana na chachu aliyotwaa mwanamke akaisitiri ndani ya pishi tatu za unga, hata ukachacha wote pia.

Soma Luka 13

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Luka 13:18-21