Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mambo ya Walawi 6:18

Mambo ya Walawi 6:18 SRUV

Kila mwanamume miongoni mwa wana wa Haruni atakula katika huo, kuwa ni haki yao milele katika vizazi vyenu, katika matoleo ya BWANA yasongezwayo kwa njia ya moto; mtu yeyote atakayevigusa atakuwa ni mtakatifu.