Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 31:25-26

Yeremia 31:25-26 SRUV

Kwa maana nimeishibisha roho yenye uchovu, nami nimeiridhisha kila roho yenye huzuni. Basi, nikaamka, nikaangalia; na usingizi wangu ulikuwa mtamu kwangu.

Soma Yeremia 31

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha