Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 31:25-26

Yeremia 31:25-26 NEN

Nitawaburudisha waliochoka na kuwatuliza walio na huzuni.” Kwa jambo hili niliamka na kuangalia pande zote. Usingizi wangu ulikuwa mtamu kwangu.