Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 17:9-10

Yeremia 17:9-10 SRUV

Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wa kufisha; nani awezaye kuujua? Mimi, BWANA, nauchunguza moyo, navijaribu viuno, hata kumpa kila mtu kiasi cha njia zake, kiasi cha matunda ya matendo yake.

Soma Yeremia 17