Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yakobo 5:17-18

Yakobo 5:17-18 SRUV

Eliya alikuwa mwanadamu mwenye tabia sawa na sisi, akaomba kwa bidii mvua isinyeshe, na mvua haikunyesha juu ya nchi muda wa miaka mitatu na miezi sita. Akaomba tena, mbingu zikatoa mvua, nayo nchi ikazaa matunda yake.

Soma Yakobo 5

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yakobo 5:17-18

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha