Hosea 12:3-5
Hosea 12:3-5 SRUV
Tumboni alimshika ndugu yake kisigino; Na alipokuwa mtu mzima alishindana na Mungu; Naam, alishindana na malaika Akashinda; alilia, na kumsihi; Alimwona huko Betheli, naye akasema nasi huko; Naam, BWANA, Mungu wa majeshi; BWANA ndilo kumbukumbu lake.