Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Wagalatia 6:7-8

Wagalatia 6:7-8 SRUV

Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa chochote apandacho mtu, ndicho atakachovuna. Maana yeye apandaye kwa mwili wake, katika mwili wake atavuna uharibifu; bali yeye apandaye kwa Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Wagalatia 6:7-8