Kutoka 24:13-15
Kutoka 24:13-15 SRUV
Musa akaondoka na Yoshua, mtumishi wake, Musa akapanda mlimani kwa Mungu. Akawaambia hao wazee, Tungojeeni hapa, mpaka tutakaporudi kwenu; na tazameni, Haruni na Huri wapo pamoja nanyi; kila mtu aliye na jambo na awaendee. Musa akapanda mlimani, lile wingu likaufunikiza mlima.