Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mhubiri 4:7-8

Mhubiri 4:7-8 SRUV

Kisha nikarudi tena, na kuona ubatili chini ya jua. Kuna mtu aliye peke yake, wala hana mwenzi wake; naam, hana mwana wala ndugu; hata hivyo amali yake haina mwisho, wala macho yake hayashibi utajiri. Basi asema, Ni kwa ajili ya nani nafanya kazi, na kujinyima nafsi yangu mema? Hayo nayo ni ubatili, naam, ni taabu kubwa.

Soma Mhubiri 4