Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mhubiri 4:7-8

Mhubiri 4:7-8 NEN

Tena nikaona kitu kingine kilicho ubatili chini ya jua: Kulikuwepo mwanadamu aliye peke yake, hakuwa na mwana wala ndugu. Hapakuwa na mwisho wa kazi yake, hata hivyo macho yake hayakutosheka na utajiri wake. Aliuliza, “Ninajitaabisha hivi kwa ajili ya nani, nami kwa nini ninajinyima kufurahia?” Hili pia ni ubatili, ni shughuli yenye taabu!