Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Wakorintho 13:11-12

2 Wakorintho 13:11-12 SRUV

Hatimaye, ndugu, kwaherini; mtimilike, mfarijike, nieni mamoja, mkae katika amani; na Mungu wa upendo na amani atakuwa pamoja nanyi. Salimianeni kwa busu takatifu. Watakatifu wote wanawasalimu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 2 Wakorintho 13:11-12