Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Wakorintho 11:3-4

2 Wakorintho 11:3-4 SRUV

Lakini nahofu; kama yule nyoka alivyomdanganya Hawa kwa hila yake, asije akawaharibu fikira zenu, mkauacha unyofu na usafi kwa Kristo. Maana yeye ajaye akihubiri Yesu mwingine ambaye sisi hatukumhubiri, au mkipokea roho nyingine msiyoipokea, au Injili nyingine msiyoikubali, mnavumiliana naye punde!

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 2 Wakorintho 11:3-4