1 Samweli 10:17-18
1 Samweli 10:17-18 SRUV
Basi Samweli akawakusanya watu mbele za BWANA huko Mispa akawaambia wana wa Israeli, BWANA, Mungu wa Israeli, asema hivi, Niliwatoa Waisraeli kutoka Misri, nami niliwaokoa ninyi kutoka kwa mikono ya Wamisri, na ya falme zote zilizowaonea