1 Sam 10:17-18
1 Sam 10:17-18 SUV
Basi Samweli akawakusanya watu mbele za BWANA huko Mispa akawaambia wana wa Israeli, BWANA, Mungu wa Israeli, asema hivi, Naliwatoa Israeli kutoka Misri, nami naliwaokoa ninyi na mikono ya Wamisri, na ya falme zote zilizowaonea