Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zab 32:1-3

Zab 32:1-3 SUV

Heri aliyesamehewa dhambi, Na kusitiriwa makosa yake. Heri BWANA asiyemhesabia upotovu, Ambaye rohoni mwake hamna hila. Niliponyamaza mifupa yangu ilichakaa Kwa kuugua kwangu mchana kutwa.

Soma Zab 32