Zab 131:2-3
Zab 131:2-3 SUV
Hakika nimeituliza nafsi yangu, Na kuinyamazisha. Kama mtoto aliyeachishwa Kifuani mwa mama yake; Kama mtoto aliyeachishwa, Ndivyo roho yangu ilivyo kwangu. Ee Israeli, umtarajie BWANA, Tangu leo na hata milele.
Hakika nimeituliza nafsi yangu, Na kuinyamazisha. Kama mtoto aliyeachishwa Kifuani mwa mama yake; Kama mtoto aliyeachishwa, Ndivyo roho yangu ilivyo kwangu. Ee Israeli, umtarajie BWANA, Tangu leo na hata milele.