Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwa 39:2-3

Mwa 39:2-3 SUV

BWANA akawa pamoja na Yusufu, naye akasitawi; naye alikuwa katika nyumba ya bwana wake, yule Mmisri. Bwana wake akaona ya kwamba BWANA yu pamoja naye, na ya kuwa BWANA anafanikisha mambo yote mkononi mwake.

Soma Mwa 39

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mwa 39:2-3