Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Pet 1:14-16

1 Pet 1:14-16 SUV

Kama watoto wa kutii msijifananishe na tamaa zenu za kwanza za ujinga wenu; bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, ninyi nanyi iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote; kwa maana imeandikwa, Mtakuwa watakatifu kwa kuwa mimi ni mtakatifu.

Soma 1 Pet 1

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Pet 1:14-16