Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Petro 1:14-16

1 Petro 1:14-16 NEN

Kama watoto watiifu, msifuate tamaa zenu mbaya wakati mlipoishi kwa ujinga. Bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, nanyi kuweni watakatifu katika mwenendo wenu wote. Kwa maana imeandikwa: “Kuweni watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Petro 1:14-16