Ufunuo 7:15-16
Ufunuo 7:15-16 NEN
Kwa hiyo, “Wako mbele ya kiti cha enzi cha Mungu na kumtumikia usiku na mchana katika hekalu lake; naye aketiye katika kile kiti cha enzi atatanda hema yake juu yao. Kamwe hawataona njaa wala kiu tena. Jua halitawapiga wala joto lolote liunguzalo.