Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 42:1-2

Zaburi 42:1-2 NEN

Kama vile ayala aoneavyo shauku vijito vya maji, ndivyo nafsi yangu ikuoneavyo shauku, Ee Mungu. Nafsi yangu inamwonea Mungu kiu, Mungu aliye hai. Ni lini nitaweza kwenda kukutana na Mungu?

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 42:1-2