Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 42:1-2

Zaburi 42:1-2 BHN

Kama paa atamanivyo maji ya kijito, ndivyo ninavyokutamani, ee Mungu wangu! Naona kiu ya Mungu, kiu ya Mungu aliye hai. Nitafika lini kwake na kuuona uso wake?

Soma Zaburi 42

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 42:1-2