Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 42:1-2

Zaburi 42:1-2 SRUV

Kama ayala aioneavyo shauku mito ya maji. Vivyo hivyo nafsi yangu inakuonea shauku, Ee Mungu. Nafsi yangu inamwonea kiu MUNGU, Mungu aliye hai, Lini nitakapokuja nionekane mbele za Mungu?

Soma Zaburi 42

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 42:1-2