Zaburi 30:1-2
Zaburi 30:1-2 NEN
Nitakutukuza wewe, Ee BWANA, kwa kuwa umeniinua kutoka vilindi, na hukuacha adui zangu washangilie juu yangu. Ee BWANA, Mungu wangu, nilikuita unisaidie na wewe umeniponya.
Nitakutukuza wewe, Ee BWANA, kwa kuwa umeniinua kutoka vilindi, na hukuacha adui zangu washangilie juu yangu. Ee BWANA, Mungu wangu, nilikuita unisaidie na wewe umeniponya.