Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 3:5-8

Mithali 3:5-8 NEN

Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote wala usizitegemee akili zako mwenyewe; katika njia zako zote mkiri yeye, naye atayanyoosha mapito yako. Usiwe mwenye hekima machoni pako mwenyewe; mche BWANA ukajiepushe na uovu. Hii itakuletea afya mwilini mwako, na mafuta kwenye mifupa yako.