Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 3:5-8

Mithali 3:5-8 SRUV

Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote, Wala usizitegemee akili zako mwenyewe; Katika njia zako zote mkiri yeye, Naye atayanyosha mapito yako. Usiwe na hekima machoni pako; Mche BWANA, ukajiepushe na uovu. Itakuwa afya mwilini pako, Na mafuta mifupani mwako.

Soma Mithali 3