Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 28:1-5

Mithali 28:1-5 NEN

Mtu mwovu hukimbia ingawa hakuna yeyote anayemfukuza, bali wenye haki ni wajasiri kama simba. Wakati nchi inapokuwa na uasi, inakuwa na viongozi wengi, bali mwenye ufahamu na maarifa hudumisha utaratibu. Mtu maskini amwoneaye yeye aliye maskini zaidi ni kama mvua ya dhoruba isiyosaza mazao. Wale waiachao sheria huwasifu waovu, bali wale waishikao sheria huwapinga. Watu wabaya hawaelewi haki, bali wale wamtafutao BWANA wanaielewa kikamilifu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mithali 28:1-5

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha