Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 15:1-4

Mithali 15:1-4 NEN

Jawabu la upole hugeuza ghadhabu, bali neno liumizalo huchochea hasira. Ulimi wa mwenye hekima husifu maarifa, bali kinywa cha mpumbavu hufoka upumbavu. Macho ya BWANA yako kila mahali, yakiwaangalia waovu na wema. Ulimi uletao uponyaji ni mti wa uzima, bali ulimi udanganyao huponda roho.

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha