Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yohana 14:25-26

Yohana 14:25-26 NEN

“Nimewaambia mambo haya yote wakati bado niko pamoja nanyi. Lakini huyo Msaidizi, yaani, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atamtuma kwenu kwa Jina langu, atawafundisha mambo yote na kuwakumbusha yote niliyowaambia.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yohana 14:25-26