Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yohana 10:27-29

Yohana 10:27-29 NEN

Kondoo wangu huisikia sauti yangu nami nawajua, nao hunifuata, nami ninawapa uzima wa milele, hawataangamia kamwe wala hakuna mtu atakayewapokonya kutoka mikono yangu. Baba yangu aliyenipa hawa ni mkuu kuliko wote na hakuna awezaye kuwapokonya kutoka mikononi mwake.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yohana 10:27-29