Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 13:15-16

Yeremia 13:15-16 NEN

Sikieni na mzingatie, msiwe na kiburi, kwa kuwa BWANA amenena. Mpeni utukufu BWANA Mungu wenu, kabla hajaleta giza, kabla miguu yenu haijajikwaa juu ya vilima vitakavyotiwa giza. Mlitarajia nuru, lakini ataifanya kuwa giza nene na kuibadili kuwa huzuni kubwa.

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha