Yeremia 13:15-16
Yeremia 13:15-16 SRUV
Sikilizeni ninyi, kategeni masikio yenu; msifanye kiburi; maana BWANA amenena. Mtukuzeni BWANA, Mungu wenu, kabla hajaleta giza, na kabla miguu yenu haijakwaa juu ya milima yenye giza; na wakati mnapoitazamia nuru, kabla hajaigeuza kuwa kivuli cha mauti, na giza nene.