Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwanzo 48:15-16

Mwanzo 48:15-16 NEN

Ndipo akambariki Yosefu akisema, “Mungu ambaye baba zangu Abrahamu na Isaki walimtii, Mungu ambaye amekuwa mchungaji wa maisha yangu yote mpaka leo hii, Malaika ambaye aliniokoa kutoka madhara yote, yeye na awabariki vijana hawa. Na waitwe kwa jina langu na kwa majina ya baba zangu Abrahamu na Isaki, wao na waongezeke kwa wingi katika dunia.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mwanzo 48:15-16