Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waefeso 2:19-20

Waefeso 2:19-20 NEN

Hivyo basi, ninyi sasa si wageni tena wala wapitaji, bali mmekuwa wenyeji pamoja na watakatifu na pia jamaa wa nyumbani mwake Mungu. Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii, naye Kristo Yesu mwenyewe ndiye jiwe kuu la pembeni.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Waefeso 2:19-20