Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 26:19-20

Matendo 26:19-20 NEN

“Hivyo basi, Mfalme Agripa, sikuacha kuyatii yale maono yaliyotoka mbinguni, bali niliyatangaza kwanza kwa wale wa Dameski, kisha Yerusalemu na katika vijiji vyote vya Uyahudi na pia kwa watu wa Mataifa, kwamba inawapasa kutubu na kumgeukia Mungu na kuthibitisha toba yao kwa matendo yao.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Matendo 26:19-20