Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Wakorintho 3:17-18

2 Wakorintho 3:17-18 NEN

Basi Bwana ndiye Roho. Mahali alipo Roho wa Bwana hapo pana uhuru. Nasi sote, tukiwa na nyuso zisizotiwa utaji tunadhihirisha utukufu wa Bwana, kama kwenye kioo. Nasi tunabadilishwa ili tufanane naye, toka utukufu hadi utukufu mkuu zaidi, utokao kwa Bwana, ambaye ndiye Roho.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 2 Wakorintho 3:17-18