1 Samweli 10:15-16
1 Samweli 10:15-16 NENO
Babaye mdogo Sauli akasema, “Niambie Samweli amekuambia nini.” Sauli akajibu, “Alituhakikishia kwamba punda wamepatikana.” Lakini hakumwambia babaye mdogo kila kitu Samweli alichomwambia kuhusu ufalme.
Babaye mdogo Sauli akasema, “Niambie Samweli amekuambia nini.” Sauli akajibu, “Alituhakikishia kwamba punda wamepatikana.” Lakini hakumwambia babaye mdogo kila kitu Samweli alichomwambia kuhusu ufalme.