Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Yohana 2:28-29

1 Yohana 2:28-29 NEN

Sasa basi, watoto wapendwa, kaeni ndani yake, ili atakapofunuliwa, tuwe na ujasiri, wala tusiaibike mbele zake wakati wa kuja kwake. Kama mkijua kuwa yeye ni mwenye haki, mwajua kwamba kila atendaye haki amezaliwa naye.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Yohana 2:28-29

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha