Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wakorintho 9:24-25

1 Wakorintho 9:24-25 NEN

Je, hamjui kwamba katika mashindano ya mbio wote wanaoshindana hukimbia, lakini ni mmoja wao tu apewaye tuzo? Kwa hiyo kimbieni katika mashindano kwa jinsi ambavyo mtapata tuzo. Kila mmoja anayeshiriki katika mashindano hufanya mazoezi makali. Wao hufanya hivyo ili wapokee taji isiyodumu, lakini sisi tunafanya hivyo ili kupata taji idumuyo milele.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Wakorintho 9:24-25