Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wakorintho 10:12-14

1 Wakorintho 10:12-14 NEN

Hivyo, yeye ajidhaniaye amesimama, aangalie asianguke. Hakuna jaribu lolote lililowapata ambalo si la kawaida kwa wanadamu. Naye Mungu ni mwaminifu; hataruhusu mjaribiwe kupita mnavyoweza. Lakini mnapojaribiwa atawapa njia ya kutokea ili mweze kustahimili. Kwa hiyo wapenzi wangu, zikimbieni ibada za sanamu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Wakorintho 10:12-14