1
Luka 11:13
Swahili Roehl Bible 1937
Basi, ninyi mlio wabaya mkijua kuwapa watoto wenu vipaji vyema, Baba alioko mbinguni asizidi kuwapa Roho Mtakatifu wanaomwomba?*
Linganisha
Chunguza Luka 11:13
2
Luka 11:9
Nami nawaambiani: Ombeni! ndipo, mtakapopewa. Tafuteni! ndipo, mtakapoona. Pigeni hodi! ndipo, mtakapofunguliwa mlango.
Chunguza Luka 11:9
3
Luka 11:10
Kwani kila anayeomba hupewa, naye anayetafuta huona, naye anayepiga hodi hufunguliwa mlango.
Chunguza Luka 11:10
4
Luka 11:2
Akawaambia: Mnapoomba semeni: Baba yetu ulioko mbinguni, Jina lako litakaswe! Ufalme wako uje! Uyatakayo yatimizwe nchini, kama yanavyotimizwa mbinguni!
Chunguza Luka 11:2
5
Luka 11:4
Tuondolee makosa yetu! Kwani nasi wenyewe humwondolea kila aliyetukosea. Usituingize majaribuni! Ila tuokoe maovuni!
Chunguza Luka 11:4
6
Luka 11:3
Tupe kila siku chakula chetu cha kututunza!
Chunguza Luka 11:3
7
Luka 11:34
Taa ya mwili ni jicho lako. Basi, jicho lako liking'aa, nao mwili wako wote unao mwanga. Lakini likiwa bovu, nao mwili wako unayo giza.
Chunguza Luka 11:34
8
Luka 11:33
Hakuna mwenye kuwasha taa anayeiweka panapofichika au chini ya kapu, ila huiweka juu ya mwango, maana wanaoingia waone mwanga.
Chunguza Luka 11:33
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video