1
Luka 10:19
Swahili Roehl Bible 1937
Tazameni, nimewapa nguvu za kukanyaga nyoka na nge, mshinde uwezo wote wa yule mchukivu, tena hakuna kitu kitakachowapotoa.
Linganisha
Chunguza Luka 10:19
2
Luka 10:41-42
Lakini Bwana akajibu akimwambia: Marta, Marta, unahangaika kwa kusumbukia mambo mengi. Lakini vinavyopasa ni vichache au kimoja tu. Maria amelichagua fungu lililo jema, naye hatapokwa.*
Chunguza Luka 10:41-42
3
Luka 10:27
Akajibu akisema: Umpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote na kwa nguvu yako yote na kwa mawazo yako yote! Naye mwenzio umpende, kama unavyojipenda mwenyewe!
Chunguza Luka 10:27
4
Luka 10:2
Naye akawaambia: Mavuno ni mengi, lakini watenda kazi ni wachache. Mwombeni mwenye mavuno, apeleke watenda kazi katika mavuno yake!
Chunguza Luka 10:2
5
Luka 10:36-37
Waonaje? Katika hao watatu aliyejifanya kuwa mwenzake yule aliyeguiwa na wanyang'anyi ni yupi? Naye akasema: Ndiye aliyemwonea huruma. Ndipo, Yesu alipomwambia: Nenda nawe, ufanye vivyo hivyo!*
Chunguza Luka 10:36-37
6
Luka 10:3
Nendeni! Tazameni, nawatuma ninyi, mwe kama wana kondoo walio katikati ya mbwa wa mwitu!
Chunguza Luka 10:3
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video