1
Luka 12:40
Swahili Roehl Bible 1937
Nanyi mwe tayari! Kwani Mwana wa mtu atajia saa, msiyomwazia.
Linganisha
Chunguza Luka 12:40
2
Luka 12:31
Lakini utafuteni ufalme wake! Ndivyo mtakavyopewa hayo.
Chunguza Luka 12:31
3
Luka 12:15
*Akawaambia: Tazameni, mjilinde kwa ajili ya choyo cho chote! Kwani mali zikiwa nyingi sizo zinazomweka mtu, akizishika.
Chunguza Luka 12:15
4
Luka 12:34
Kwani limbiko lenu liliko, ndiko, nayo mioyo yenu itakakokuwa.
Chunguza Luka 12:34
5
Luka 12:25
Tena kwenu yuko nani anayeweza kwa kusumbuka kwake kujiongezea miaka yake kipande kama cha mkono tu?
Chunguza Luka 12:25
6
Luka 12:22
Akawaambia wanafunzi wake: Kwa hiyo nawaambiani: Msiyasumbukie maisha yenu mkisema: Tutakula nini? Wala msiisumbukie miili yenu mkisema: Tutavaa nini?
Chunguza Luka 12:22
7
Luka 12:7
Lakini kwenu ninyi hata nywele za vichwani penu zimehesabiwa zote. Kwa hiyo msiogope, ninyi mnapita videge vingi!
Chunguza Luka 12:7
8
Luka 12:32
Msiogope, mlio kikundi kidogo! Kwani baba yenu imempendeza kuwapa ninyi huo ufalme.
Chunguza Luka 12:32
9
Luka 12:24
Jifundisheni kwa makunguru! Hawapandi, wala hawavuni, wala hawana vichanja wala wekeo jingine. Naye Mungu anawalisha nao. Je? Ninyi hamwapiti ndege pakubwa?
Chunguza Luka 12:24
10
Luka 12:29
Basi, ninyi msiulize: Tutakula nini? au: Tutakunywa nini? Wala msijikweze!
Chunguza Luka 12:29
11
Luka 12:28
Basi, Mungu akiyavika hivyo majani ya porini yanayokaa leo tu, kesho yatupwe katika mabiwi, yateketee, je? Hatazidi kuwavika ninyi? Mbona mnamtegemea kidogo tu?
Chunguza Luka 12:28
12
Luka 12:2
Hakuna lililofunikwa lisilofunuliwa halafu, wala hakuna lililofichwa lisilotambulikana halafu.
Chunguza Luka 12:2
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video