1
Zekaria 8:13
Neno: Bibilia Takatifu 2025
NENO
Jinsi mlivyokuwa kitu cha laana katikati ya mataifa, ee Yuda na Israeli, ndivyo nitakavyowaokoa, nanyi mtakuwa baraka. Msiogope, bali iacheni mikono yenu iwe na nguvu.”
Linganisha
Chunguza Zekaria 8:13
2
Zekaria 8:16-17
Haya ndio mtakayoyafanya: Semeni kweli kila mtu kwa mwenzake, na mtoe hukumu ya kweli na haki kwenye mahakama zenu, usipange mabaya dhidi ya jirani yako, wala msipende kuapa kwa uongo. Nayachukia haya yote,” asema BWANA.
Chunguza Zekaria 8:16-17
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video